MAENDELEO YA UJENZI BARABARA YA ROMBO MKUU-MWIKA-KILACHA-MARANGU

 Wengi wametaka kujua juu ya maendeleo ya ujenzi, zifuatazo ni picha chache juu ya barabara hiyo
Sehemu ya barabara Kiboro-Wilayani, iko kwenye hatua za mwisho, mitaro imekamilika kwa kiasi kikubwa na alama za barabarani zinaendelea kuwekwa bila kusahau matuta ya kupunguza mwendo!!!

Barabara sehemu ya Mkuu Mjini





Sehemu ya bararabara Mwika - Kilacha, ujenzi unaendelea... angalia picha chini:



Sehemu ya barabarabara ya Mkuu - Mwika ujenzi unaendelea, kumwaga vifusi vya changarawe/udongo, n.k.



Kwamangulwa


Tayari wasafiri wameanza kuona tofauti katika sekta ya usafiri kabla hata barabara haijakamilika

Idadi ya watalii inaonekana kuongezeka?

Gari la abiria likiwa Mwika Sokoni

Kifunuka

Mkuu Mjini

Commentaires

Anonyme a dit…
hongera kaka yangu kwa kutuonyesha maendeleo ya kijijini, kumekuwa mjini
Anonyme a dit…
haya Lakshi a ni indihi ulehicha kuni kaa nanga utaambe duidikirane?

Posts les plus consultés de ce blog

Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2023 Wilaya ya Rombo

WHAT DAR ES SALAAM BUS RAPID TRANSIT WILL LOOK LIKE!